Taka zinazochafua mazingira
Uongezekaji wa taka taka katika mitaani na vijijini umefanya mitaro mingi zisiweze kuwa na maji safi.
Hali hii ya kudhoofisha imesababishwa na watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo bila ya kutojali wanako zitupa na pia vile vinadhuru binadamu kiafya.
Takataka hizi huenda zikachangia pa kubwa katika kuambukiza watu magonjwa hatari kama vile maradhi ya kipindu pindu, malaria ambayo yanaweza kusababisha vifo vingi na pia kuleta gharama katika ununuzi wa madawa.
Ingekuwa jambo bora na la manufaa zaidi, ikiwa serikali lingechukua jukumu hili kwa kufanya usafi maalum katika maeneo yalioathiriwa zaidi, na pia kuweka jengo zaidi vya vyoo katika miji na maeneo za mitaa zisizo na vyoo.
Sio tu hoja kwa shirika hili kuyatekeleza hayo, bali sisi kama wananchi ni kazi kwetu kushirikiana nao, moja kwa moja kurahisisha kazi kwa kuvitumia vifaa hivyo kwa makini. Ili tuweze kuyazuia magonjwa na hata hasara kifedha.
Itakuwa kazi la sulubuzaidi, tusiposhirikiana kwa kina, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
Read Full Post | Make a Comment ( None so far )


