Taka zinazochafua mazingira

Posted on December 7, 2009. Filed under: Uncategorized | Tags: , , , , |

Uongezekaji wa taka taka katika  mitaani na vijijini umefanya mitaro mingi zisiweze kuwa na maji safi.

Hali hii ya kudhoofisha imesababishwa na  watu ambao wanatupa taka taka ovyo ovyo bila ya kutojali  wanako zitupa na pia vile vinadhuru binadamu kiafya.

Takataka hizi huenda zikachangia pa kubwa katika kuambukiza watu magonjwa hatari kama vile maradhi ya kipindu pindu, malaria ambayo yanaweza kusababisha vifo vingi na pia kuleta gharama katika ununuzi wa madawa.

Ingekuwa jambo bora na la manufaa zaidi, ikiwa serikali  lingechukua  jukumu hili kwa kufanya usafi maalum katika maeneo yalioathiriwa zaidi, na pia kuweka  jengo zaidi  vya vyoo katika miji na maeneo za mitaa zisizo na vyoo.

Sio tu hoja kwa shirika hili kuyatekeleza hayo, bali sisi kama wananchi ni kazi kwetu kushirikiana nao, moja kwa moja kurahisisha kazi kwa kuvitumia vifaa hivyo kwa makini. Ili tuweze kuyazuia magonjwa na hata hasara kifedha.

Itakuwa kazi la sulubuzaidi, tusiposhirikiana kwa kina, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.


Read Full Post | Make a Comment ( None so far )

Recently on Goodboy...

Elimu Ni Ngao ya maisha

Posted on November 1, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , , , |

Sheria Za Watoto

Posted on October 4, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , |

Watoto Kuongezeka Kwa Mtaa

Posted on September 27, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , , |

Umasikini Kwa Wingi

Posted on July 29, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , |

Land Grabbing in my Country

Posted on July 24, 2008. Filed under: Uncategorized |

Mateso maishani

Posted on July 16, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , , |

Mbona hili kero?

Posted on July 16, 2008. Filed under: Uncategorized | Tags: , , , , |

Liked it here?
Why not try sites on the blogroll...